SUMIA

KUWA WA KWANZA KUFAHAMU YANAYOJIRI KILA SIKU KUPITIA BLOG www.sumiampanda.blogspot.com

Friday, March 8, 2013

NYONYESHENI WATOTO MIEZI SITA - RC

MKUU wa mkoa wa Mbeya Abasi Kandoro amewataka akina mama wanaoogopa maziwa yao yasianguke kwa kunyonyesha watoto kuachana na fikra hizo na badala yake wanyonyeshe watoto hadi umri wa miezi sita ili kuwakinga na maradhi na vifo vinavyosababishwa na ukosefu wa kinga ya kutosha inayotokana na maziwa ya mama ...........  HABARI KAMILI ITAKUJIA PUNDE

 

Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Abasi Kandoro akifungua semina ya wanahabari juu ya chanjo mpya iliyofanyika kwa siku moja jijini Mbeya Machi 8, 2012 katika ukumbi wa chuo cha wanganga wasaidizi Mbeya
























Posted by SUMIA at Friday, March 08, 2013
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Newer Post Older Post Home

KDF P.O.BOX 355 MPANDA

KDF P.O.BOX 355 MPANDA
Katavi Development Foundation

WENZETU HAWA HAPA

BEATUSI SUMIA

BEATUSI SUMIA
Amani yako ni yangu pia

TANGAZA HAPA UFANIKIWE KIMATAIFA

WILBROAD SUMIA ALPHONCE

My photo
SUMIA
MPANDA, KATAVI - TZ, Tanzania
KILIO CHA MNYONGE NDIYO KILIO CHANGU KATIKA KAZI ZANGU, RAHA ZANGU, SHIDA ZANGU PAMOJA NA MAISHA YANGU YOTE, TANZANIA TANZANIA TANZANIA, NAKUPENDA WEWE ULIYE NCHI YANGU NITAKUFA NIKIKUPIGANIA WEWE KWA KADIRI YA UWEZO WANGU, MUNGU NISAIDIE NIFIKIE LENGO LA KUIPIGANIA NCHI YANGU TANZANIA!! AMINA
View my complete profile

KATAVI DEVELOPMENT FOUNDATION

  • ►  2014 (1)
    • ►  January (1)
  • ▼  2013 (88)
    • ►  November (15)
    • ►  October (8)
    • ►  August (8)
    • ►  July (11)
    • ►  June (1)
    • ►  May (15)
    • ►  April (7)
    • ▼  March (6)
      • ZITO AKANUSHA PAKUBWA YA GAZETINI
      • NMB YAKABIDHI DAWATI KAKESE MPANDA
      • ZAWADI YA SIKU KUU YA MATAWI 2013
      • NMB YAKABIDHI DAWATI MIA SHULENI KAKESE
      • KATAVI NA MAJI KWA WANANCHI
      • NYONYESHENI WATOTO MIEZI SITA - RC
    • ►  February (6)
    • ►  January (11)
  • ►  2012 (40)
    • ►  December (6)
    • ►  November (19)
    • ►  October (5)
    • ►  September (2)
    • ►  May (1)
    • ►  April (5)
    • ►  March (2)
  • ►  2011 (2)
    • ►  February (1)
    • ►  January (1)
  • ►  2010 (8)
    • ►  November (1)
    • ►  September (1)
    • ►  August (5)
    • ►  June (1)
  • ►  2009 (2)
    • ►  December (1)
    • ►  September (1)

Pages

  • MPYA
  • JINA KUU NI TANZANIA

KILIO CHA WANYONGE

KILIO CHA WANYONGE
SAUTI YA MNYONGE NI DUA
Powered By Blogger

Popular Posts

  • SUMRY YAMWAGA WATU MTONI KATAVI
    YAUA TISA, Walimu kumi wajeruhiwa RC Katavi anena, SUMATRA yawa mbogo Wananchi wasema tumeumizwa sanaaaa Basi la kampuni ya Sumry High ...
  • SABABU 17 ZA KUFELI F. II NA F. IV 2012
    SAKATA LA MITIHANI KIDATO CHA NNE TAHOSA YAIBUKA NA SABABU 17. Mwalimu Maria Rustus, mkuu wa shule ya sekondari Kwela akichangia mada kat...
  • HABARI ZA MKOA WA KATAVI
    MTAA WA FISI MJINI MPANDA KAAAZI KWELI Na Beda Msimbe YALIKUWA majira ya saa mbili usikui, Ijumaa wakati nilipopita katika mtaa wa ...
  • HABARI YA KUSISIMUA LEO
    MKURUGENZI WA VIJANA NCHINI AWAPA SOMO MAAFISA VIJANA WA WILAYA NA MIKOA asema  Anzeni kuwa wazalendo ninyi ndipo muwafundishe vijana uza...
  • KATALA BEACH HOTEL SINGIDA YAZINDULIWA RASMI
    IPO KATIKA MANISPAA YA SINGIDA PEMBEZONI MWA ZIWA SINGIDANI VYUMBA VYA KULALA VYA AINA ZOTE KWA BEI NAFUU Wasanii wakit...
  • SAKATA LA MATUMIZI YA KEMIKALI MGODINI KATUMA
    SAKATA la muwekezaji wa kampuni moja ya madini kudaiwa kutumia kemikali Katika kuyeyushia mawe ili kupata madini ya dhahabu kisha kuti...
  • LEO MATUKIO
    ZIARA YA MBUNGE AMOS MAKALLA JIMBONI MVOMERO   Mbunge Amos Makalla, ambaye ni Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na...
  • HABARI NA MATUKIO MAPYA
    Agosti 9, 2012 BALOZI MAHALU ASHINDA KESI Balozi Profesa Mahalu katikati akitoka nje ya mahaka ya Kisutu huku akiwa ameongozana na m...
  • MWAKA MMOJA BAADA YA KONGAMANO LA UWEKEZAJI MJINI MPANDA
    MIEZI KUMI NAMIWILI BAADA YA KONGAMANO LA UWEKEZAJI KATAVI Mnamo Oktoba 17, 2011 Mji wa Mpanda ulipokea wageni mbal...
  • BREAKING NEWS - KATAVI ya TANZANIA
    TTCL WON A 6.7 US DOLLARS CONTRACT TO SUPPLY 1.244 GIGABYTES OF INTERNET BANDWIDTH TO RWANDA FOR 10 YEARS Kwsho tutawaletea changamoto za T...

Search This Blog

Tuma maoni yako katika Email: willysumia@gmail.com

Kama msomaji na mwanaharakati wa maendeleo ya nchi yetu ya Tanzania, unachokisoma katika Blog hii unaruhusiwa kutoa ushauri, maoni, dukuduku au hata kuuliza swali ili kubadilishana uzoefu. Mfano: Sipendi kuchanganya Kiswahili na Lugha za Kigeni, ni vema ukachanganya na Kihaya, Kifipa, Kizaramo, Kiyao, Kinyekyusa, Kingoni na lugha nyingine za hapa nyumbani. Kuzungumza Kiingereza ni ujanja au ndo kuonesha kiwango kidogo cha uelewa?
TANGAZA NA BLOG HII UPATE MAFANIKIO KWA GHARAMA NAFUU SANA Tupigie 0767 519989 willysumia@gmail.com. Watermark theme. Powered by Blogger.