Saturday, November 24, 2012

HUDUMA KWA WENYE ULEMAVU

MIUNDO MBINU SHULENI SI RAFIKI KWA WALEMAVU.

Mwanafunzi wa darasa la Tatu Atupele Sanga wa Shule moja ya Msingi katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga Mkoani Rukwa, akisaidiwa na rafiki zake kuingiya darasani, kwani miundo mbinu ya shule yake si rafiki licha ya serikali kusisitiza umuhimu wa kujenga mazingira rafiki kwa wenye ulemavu katika shule zote nchini. Picha Na; Franco Nkyandwale Sumbawanga.