Sunday, November 25, 2012

NHC KATAVI KUMEKUCHAAA.....

Jiwe la msingi Ilembo NHC Mpanda

 Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu akiwa sambamba na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole Medeye wakikagua mojawapo ya nyumba za mradi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Ilembo, Mpanda Katavi jana
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mkurugenzi wa Utawala na Uendeshaji wa Mikoa, Raymond Mndolwa huku Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole Medeye wakishuhudia kwenye uzinduzi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Ilembo, Mpanda Katavi jana
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk mohammed Gharib Bilal, akizindua ujenzi wa nyumba za gharama nafuu NHC Ilembo huku Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole Medeye wakishuhudia kwenye uzinduzi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Ilembo, Mpanda Katavi jana
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk mohammed Gharib Bilal, akizindua ujenzi wa nyumba za gharama nafuu NHC Ilembo huku Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole Medeye wakishuhudia kwenye uzinduzi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Ilembo, Mpanda Katavi jana

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk mohammed Gharib Bilal, akipeana mkono na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole Medeye  kwenye uzinduzi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Ilembo, Mpanda Katavi jana. Picha zote za kwa hisani ya SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA  
Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kibondo Mh. Venance Mwamoto wakati wa mapokezi hayo, kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dkt Rajab Rutengwe.

Shirika la Nyumba lazindua Ujenzi nyumba za gharama nafuu Katavi

 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja Mawasiliano wa Shirika la Nyumba la Taifa, Yahya Charahani kwenye maonyesho yanayoshirikisha taasisi, asasi na vitengo mbalimbali vya umma na watu binafsi mjini Mpanda jana. Maonyesho hayo ya wiki moja ni sehemu ya uzinduzi rasmi wa mkoa wa Katavi unaofanyika rasmi kesho.
 Ujenzi wa Majengo ya nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Ilembo Mpanda mkoani Katavi yakiwa katika hatua za awali za ujenzi wake ambao baada ya kukamilika zitajengwa nyumba 94 za kuishi kwaajili ya watu wa kipato cha chini.
 Ujenzi wa Majengo ya nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Ilembo Mpanda mkoani Katavi yakiwa katika hatua za awali za ujenzi wake ambao baada ya kukamilika zitajengwa nyumba 94 za kuishi kwaajili ya watu wa kipato cha chini.
Mkurugenzi wa Utawala na Uendeshaji wa Mikoa wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Raymond Mndolwa akieleza jambo kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemiah Kyando Mchechu kwenye Ujenzi wa Majengo ya nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Ilembo Mpanda mkoani Katavi yakiwa katika hatua za awali za ujenzi wake ambao baada ya kukamilika zitajengwa nyumba 94 za kuishi kwaajili ya watu wa kipato cha chini.
Meneja wa NHC Mbeya ambaye pia ni Mhandisi Msimamizi wa Mradi wa Ujenzi wa Majengo ya nyumba za gharama nafuu za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Ilembo Mpanda mkoani Katavi, Malissa (kushoto) akizungumza na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya NHC, Geofrey Msella wakati huku Mkurugenzi Mkuu Nehemia Kyando Mchechu (katikati) akisikiliza .

Jiwe la Msingi la nyumba za gharama nafuu za NHC Ilembo, Mpanda mkoani Katavi.